Ofisi ya Askofu

Askofu wa Kanisa la Moravian amewekwa wakfu kwa huduma maalum ya uchungaji kwa jina la na kwa Umoja mzima. Ofisi ya Askofu inawakilisha umuhimu wa umoja wa Kanisa na uendelezaji wa huduma ya Kanisa, ingawa Umoja hausisitizi juu ya utangazaji wowote wa urithi wa kitume. Ofisi na kazi ya Askofu ni halali katika Umoja kwa ujumla.

Wajibu wa Askofu wa Kanisa la Moravian ni, kati ya wengine:

1. Askofu ana wajibu maalum wa maombezi kwa umoja, na pia kwa Kanisa la Kristo kwa ujumla.

2. Maaskofu tu wana haki ya kuandaa au kutekeleza maagizo mbalimbali ya huduma, lakini wakiwa wametumwa kufanya hivyo na bodi ya kanisa au Sinodi.


Askofu wa sasa anaitwa Mch. Kenan Salim Panja (2015-)









Askofu wa tatu alikuwa  Askofu Mch. Lusekelo Bimege Mwakafwila (1997-2014)







Askofu wa pili alikuwa marehemu Askofu Mch. Stephen Mwakasyuka (1982-1996)







Askofu wa kwanza alikuwa marehemu Askofu Mch. Anosisyse Jongo Mwansombelo (1979-1981)
Kiswahili